Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Mongolandege, Dar Es Salaam sqm 400

Sh. 48,000,000

Ukubwa

400 SQM

Maelezo

๐Ÿ“ KIWANJA KINAUZWA โ€“ KINYEREZI MONGOLANDEGE, DAR ES SALAAM ๐Ÿก

โœ… Ukubwa: SQM 400
โœ… Umbali wa takribani dakika 3 kutoka barabara kuu
โœ… Kipo katika mtaa mzuri na unaokua kwa kasi
โœ… Gari linafika hadi kwenye kiwanja bila shida

๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Milioni 48

Kiwanja hiki kinafaa kwa:
๐Ÿ  Ujenzi wa nyumba ya makazi yenye nafasi kubwa ya bustani na maegesho.
๐Ÿข Ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye uwezo wa kukuletea kipato kizuri cha kila mwezi.

๐Ÿ“ Eneo linafikika kirahisi kupitia Kinyerezi Mwisho au kutoka upande wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

๐Ÿ”ฅ Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo ya haraka.

๐Ÿ“ž Gharama ya huduma: TSh 30,000/=

Wasiliana:

#DalaliWakishua #KinyereziMongolandege #ViwanjaDar #Uwekezaji #RealEstateTanzania MilikiKeshoYakoLeo

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings
Dalali Tabata