Kiwanja kinauzwa Mkundi, Lung'wawa, Morogoro (625 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐊𝐈𝐍𝐀𝐔𝐙𝐖𝐀 – 𝗠𝗞𝗨𝗡𝗗𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗡𝗚'𝗪𝗔𝗪𝗔, 𝗠𝗢𝗥𝗢𝗚𝗢𝗥𝗢
Kiwanja kinauzwa katika eneo la Mkundi, Lung'wawa Morogoro, kikiwa katika mazingira mazuri na salama kwa makazi pamoja na uwekezaji.
📍 𝗘𝗻𝗲𝗼: Mkundi, Lung'wawa – Morogoro
📐 𝗨𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮: Mita 25 × 25
💰 𝗕𝗲𝗶: 𝗧𝗦𝗵 11,000,000 (mazungumzo yapo)
📄 Kina nyaraka za serikali za mitaa
⚡ Umeme na maji vimeshafika
🛣️ Barabara nzuri na rahisi kufikika
🏥 Jirani na huduma muhimu za kijamii
📍 𝗨𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 wa mita 600 tu kutoka Dodoma Road
Kiwanja kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi au uwekezaji wa muda mrefu.
☎️ Kwa 𝗺𝗮𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼: /
💵 Ada ya kutembelea kiwanja ni 𝗧𝗦𝗵.30,000/=.










