Viwanja vinauzwa Mkundi Sheli, Morogoro (500 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
500m — Dodoma Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 𝐌𝐑𝐀𝐃𝐈 𝐌𝐏𝐘𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 – 𝐌𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐄𝐋𝐈, 𝐌𝐎𝐑𝐎𝐆𝐎𝐑𝐎! 🔥
🏡 𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗘𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗭𝗜.!
📍 𝗠𝗮𝗵𝗮𝗹𝗶: Mkundi Sheli, Morogoro
🛣️ 𝗨𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶: Mita 500 tu kutoka Dodoma Road
📐 Ukubwa wa kiwanja: Sqm 500
💰 𝗕𝗲𝗶: Milioni 10/= tu
💳 𝗠𝗮𝗹𝗶𝗽𝗼 𝗖𝗮𝘀𝗵 au 𝗸𝘄𝗮 𝗔𝘄𝗮𝗺𝘂
✨ 𝗦𝗶𝗳𝗮 𝘇𝗮 𝗲𝗻𝗲𝗼:
✅ Viwanja vipo sehemu nzuri na salama
✅ Jirani na makazi mengine tayari
✅ Barabara zimechongwa
✅ Jirani na huduma za kijamii
✅ Umeme unapatikana
✅ Maji yanapatikana
✅ Eneo linafaa kwa 𝗞𝘂𝗷𝗲𝗻𝗴𝗮 𝗺𝗮𝗸𝗮𝘇𝗶 𝗯𝗶𝗻𝗮𝗳𝘀𝗶 𝗮𝘂 𝘂𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗮𝗷𝗶.!
📞 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢:
/
📌 𝗦𝗜𝗧𝗪 𝗩𝗜𝗦𝗜𝗧: Ada ya kutembelea na kuoneshwa eneo ni Tsh 30,000/=
🔥 𝗨𝘀𝗶𝘀𝘂𝗯𝗶𝗿𝗶 𝗯𝗲𝗶 𝗶𝗽𝗮𝗻𝗱𝗲 — 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗸𝗶𝘄𝗮𝗻𝗷𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝗼 𝘀𝗮𝘀𝗮!
𝗗𝗔𝗟𝗔𝗟𝗜 𝗠𝗦𝗛𝗜𝗨 – Fursa za Ardhi Morogoro










