Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ KIWANJA KINAUZWA โ TABATA BONYOKWA STAND
Dakika 5 kwa miguu kutoka stand kwenye Daladala za mnazi mmoja
โ
SQM 400
โ
Dakika 5 kutoka barabara ya lami
โ
Dakika 5 kutoka Tabata Bonyokwa Stand
โ
Mtaa tulivu, salama na huduma zote za msingi zinapatikana
๐ก Kinafaa kwa ujenzi wa makazi binafsi au nyumba za biashara.
๐ฐ Bei: TSh 40,000,000
๐ผ Gharama ya Huduma: TSh 30,000/=
๐ +255 787 205 300
Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!!















