Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β TABATA BONYOKWA STENDI
Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa nzuri kwako!
π Location: Tabata Bonyokwa Stendi, takribani dakika 5 kutoka stendi hadi kwenye kiwanja.
β
Ukubwa: SQM 400
β
Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi
β
Pia kinafaa kwa ujenzi wa apartments (nyumba za biashara)
β
Eneo ni zuri, limeendelea na linaendelea kukua kwa kasi
β
Barabara imewekewa zege na inafikika kirahisi hata kipindi cha mvua
π° Bei: TSh Milioni 38 (Fixed)
π Nyaraka: Sales Agreement
Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo na mahitaji makubwa ya makazi.
π Wasiliana: 0768682919 au 0653233641
π° Service Charge: TSh 50,000/=
Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.















