Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 70,000,000

Maelezo

#Repost dalali_tabata_kinyerezi_tz
β€”β€”
🏑 KIWANJA KINAUZWA –TABATA KINYEREZI MWISHO KWA MAKOFIA 🏑

πŸ’° BEI: MILIONI 70 TU

πŸ“ Ukubwa: SQM 700

βœ… Kiwanja ni tambarare kabisa.
βœ… Kiwanja kipo mtaa mnzuri sana kumejengeka
βœ… Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
βœ… Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
πŸ“„ Umiliki wake ni Sales Agreement.

Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.

πŸ“ž Muhitaji piga: +255 768682919 au 0653233641
πŸ’΅ Gharama ya huduma (Service Charge): 50,000/=

Karibu Tajiri!
Miliki Kesho Yako Leo!!! πŸš€πŸ‘