Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (7249 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000,000 per month

Aina

Kiwanja

Ukubwa

7249 SQM

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Uzio
Ardhi Iliyopimwa
Banana trees
Orange trees
Coconut trees
Mango trees

Maelezo

Eneo kubwa sana linauzwa bei milion 500 maongezi kidogo yapo, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 7249, hapa katika kiwanja hiki kipo ndani ya fensi kubwa sana unakagua hadi unachoka kutembea, pia hapa migomba ya ndizi, machungwa, minazi, maembe, ndimu, n.k, pia kuna mabanda mawili ndani ya fensi na mageti 2, eneo limepimwa tayari, hapa unaweza jenga apartment, yard, godwn, makanisa n.k, Location tabata kinyerezi dar es salaam

Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service charge tsh 70000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam