Tafuta

Viwanja vinauzwa Tabata Sanane, Dar Es Salaam (4000 sqm)

video thumbnail
Sh. 95,000/sqm

Maelezo

VIWANJA VINAPATIKANA TABATA SANANE šŸ”

Viwanja vinauzwa eneo la Tabata Sanane, vina ukubwa wa jumla wa sqm 4000 na vinakatwa kulingana na mahitaji ya mteja kuanzia sqm 400 na kuendelea.

šŸ“ Bei: TSH 95,000/= kwa sqm
šŸ“ Unachagua ukubwa unaokufaa (sqm 400)

āœ… Viwanja vimepimwa rasmi
āœ… Hati itatolewa kwa jina lako mwenyewe
āœ… Mazingira mazuri kwa makazi au uwekezaji
āœ… Eneo linafikika kwa urahisi

šŸ’¼ Service charge: TSH 30,000

Karibu sana mteja, chukua hatua leo ujipatie kiwanja chako Tabata Sanane.

šŸ“ž Piga/WhatsApp: +255 688 412 890

Matangazo yanayofanana Tabata, Dar Es Salaam

Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Kibaga Songas, Dar Es Salaam (1136 sqm)

Sh. 180,000,000

  • Hati

  • Ardhi Iliyopimwa

  • Ardhi Tambarare

Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (1136 sqm)

Sh. 180,000,000

  • Hati

  • Ardhi Iliyopimwa

  • Ardhi Tambarare