Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Makofia, Dar Es Salaam (2000 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 220,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

2000 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Kanisa
Karibu na Msikiti
Can Build Apartment
Can Build Lodge

Maelezo

Kiwanja kizuri sana na kinatazama barabara ya lami kinauzwa bei milion 220. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 2000. Eneo limepimwa tayari na wizara ya aridhi bado hati tu. Hapa unaweza jenga nyumba za makazi, apartment, lodge, hotel, bnb, kanisa, yard & godown, n.k, ndugu wateja wetu changamuka bahati aiji mara mbili, Location tabata kinyerezi makofia dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam