Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Makofia, Dar Es Salaam (2000 sqm)







Aina
Kiwanja
Ukubwa
2000 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kizuri sana na kinatazama barabara ya lami kinauzwa bei milion 220. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 2000. Eneo limepimwa tayari na wizara ya aridhi bado hati tu. Hapa unaweza jenga nyumba za makazi, apartment, lodge, hotel, bnb, kanisa, yard & godown, n.k, ndugu wateja wetu changamuka bahati aiji mara mbili, Location tabata kinyerezi makofia dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 50000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam















