Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (650 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA CHAMA 🔥
Fursa nzuri ya kumiliki kiwanja eneo la Tabata Segerea Chama, moja ya maeneo yanayoendelea kwa kasi jijini Dar es Salaam.
✅ Umbali wa mita 50 tu kutoka barabara ya lami
✅ Kiwanja cha nne kutoka barabarani
✅ Kipo ndani ya fence
✅ Eneo ni tambarare kabisa
✅ Halijai maji wala halina changamoto za mafuriko
✅ Barabara za kufika ni nzuri na rafiki mwaka mzima
✅ Usafiri unapatikana kwa urahisi
📐 Ukubwa: SQM 650
💰 Bei: Milioni 80 tu
Eneo hili linafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi au uwekezaji wa muda mrefu kutokana na maendeleo yanayoendelea katika maeneo ya Tabata na Segerea.
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=.
📞 Muhitaji piga: +255688412890















