Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 55,000,000
Aina
Kiwanja
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Uzio
Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara
Maelezo
🏡✨ KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA (KWA BIBI) ✨🏡
Fursa nzuri sana kwa mteja anayehitaji eneo bora kwa makazi au uwekezaji 🔥
📍 Kipo Tabata Segerea
🛣️ Mchata kutoka barabara ya lami
📐 Ukubwa: Square mita 500
💰 Bei: TSh Milioni 55
🤝 Mazungumzo yapo kwa mteja mwenye nia ya dhati
✅ Kiwanja ni tambarare
✅ Kipo ndani ya fence
✅ Barabara ni rafiki na kinafikika bila shida
✅ Hata kipindi cha mvua maji hayajai
🏢 Kinafaa kwa:
• Makazi binafsi
• Ujenzi wa apartments
• Uwekezaji wa baadaye
💵 Service charge: 30,000/=.
📞 +255688412890.
📞 Muhi , piga simu sasa
Karibu sana.
