Tafuta
-
-

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 55,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Uzio
Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara

Maelezo

🏡✨ KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA (KWA BIBI) ✨🏡

Fursa nzuri sana kwa mteja anayehitaji eneo bora kwa makazi au uwekezaji 🔥

📍 Kipo Tabata Segerea
🛣️ Mchata kutoka barabara ya lami
📐 Ukubwa: Square mita 500
💰 Bei: TSh Milioni 55
🤝 Mazungumzo yapo kwa mteja mwenye nia ya dhati

✅ Kiwanja ni tambarare
✅ Kipo ndani ya fence
✅ Barabara ni rafiki na kinafikika bila shida
✅ Hata kipindi cha mvua maji hayajai

🏢 Kinafaa kwa:
• Makazi binafsi
• Ujenzi wa apartments
• Uwekezaji wa baadaye

💵 Service charge: 30,000/=.
📞 +255688412890.

📞 Muhi , piga simu sasa
Karibu sana.