Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (740 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
740 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA,VIWANJA VYA BANK ✨🏡
Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji!
Kiwanja hiki kipo Tabata Segerea, Viwanja vya Bank, eneo la hadhi na majirani wa kisasa, mazingira tulivu na salama.
📍 Sifa za Kiwanja:
✅ Ni cha tatu kutoka barabara ya lami
✅ Eneo zuri lenye neighborhood ya hadhi
✅ Tambarare kabisa – tayari kwa ujenzi
✅ Kimepimwa
✅ Ukubwa: SQM 740
✅ Barabara nzuri na inafikika kirahisi kipindi chote
🏠 Matumizi yanayofaa:
• Makazi binafsi – jenga dream house yako
• Apartments
• Guest lodge
• Uwekezaji wa biashara nyingine
⏱️ Umbali ni takriban dakika 1–5 tu kutoka barabara ya lami
💰 Bei: TZS Milioni 80 (mazungumzo yapo kidogo)
📞 +255688412890 Karibu ndugu mteja, hii siyo ya kukosa!
💼 Service charge: 30,000/=.
