Tafuta
-
-

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (740 sqm)

video thumbnail
Sh. 80,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

740 SQM

Huduma na Sifa

Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏡✨ KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA,VIWANJA VYA BANK ✨🏡

Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji!
Kiwanja hiki kipo Tabata Segerea, Viwanja vya Bank, eneo la hadhi na majirani wa kisasa, mazingira tulivu na salama.

📍 Sifa za Kiwanja:
✅ Ni cha tatu kutoka barabara ya lami
✅ Eneo zuri lenye neighborhood ya hadhi
✅ Tambarare kabisa – tayari kwa ujenzi
✅ Kimepimwa
✅ Ukubwa: SQM 740
✅ Barabara nzuri na inafikika kirahisi kipindi chote

🏠 Matumizi yanayofaa:
• Makazi binafsi – jenga dream house yako
• Apartments
• Guest lodge
• Uwekezaji wa biashara nyingine

⏱️ Umbali ni takriban dakika 1–5 tu kutoka barabara ya lami

💰 Bei: TZS Milioni 80 (mazungumzo yapo kidogo)

📞 +255688412890 Karibu ndugu mteja, hii siyo ya kukosa!
💼 Service charge: 30,000/=.