Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Sheli Oil Com, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Vyumba
2
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ FURSA YA KIPEKEE โ ENEO LINAUZWA TABATA SEGEREA SHELI OIL COM ๐ฅ
Unatafuta eneo zuri kwa makazi binafsi au uwekezaji wenye faida kubwa? Hili ndilo chaguo sahihi kabisa! ๐โจ
๐ Location: Tabata Segerea, Sheli Oil Com
๐ Umbali: Takribani kilometa 1 kutoka lami, panafikika bila shida kabisa
๐ก Ndani ya fence
Ndani ya eneo kuna nyumba ya vyumba viwili, ambapo:
๐๏ธ Chumba 1 ni master
๐๏ธ Sebule
๐ฝ๏ธ Jiko
๐ฟ Choo cha public
๐ก Eneo hili linafaa kwa:
โ
Makazi binafsi โ nunua, karabati na uhamie moja kwa moja
โ
Kubomoa na kujenga nyumba mpya ya kisasa
โ
Uwekezaji wa apartments kwa mapato mazuri ya kodi
๐ Ukubwa: Square meter 400
๐ฐ Bei: TZS 60,000,000 (maongezi yapo karibu)
๐ Location hii inaijilipa sana na huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana kwa urahisi.
๐ Wahi sasa kabla halijachukuliwa!
Muhitaji piga: +255688412890
๐ผ Service charge: 30,000/=
#DalaliWakoWakishua #TabataSegerea #SheliOilCom #KiwanjaKinauzwa #Uwekezaji Apartments NyumbaDarEsSalaam
