Tafuta

Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Kinyerezi Darajani, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 30,000,000

Maelezo

๐Ÿก FURSA YA UWEKEZAJI โ€“ KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI DARAJANI! ๐Ÿ’ฅ

Unatafuta kiwanja kitakachokuletea kipato cha kila mwezi? Hiki ndicho chaguo sahihi!

๐Ÿ“ Location: Kinyerezi Darajani
๐Ÿ“ Ukubwa: SQM 300
๐Ÿ›ฃ๏ธ Kinatazama barabara ya lami
๐Ÿ  Kina kibanda ndani
โœ… Tambarare kabisa
โœ… Miundombinu imekamilika
โœ… Eneo bora kwa uwekezaji

Fursa za Uwekezaji:

๐Ÿช Jenga fremu 3 za biashara mbele na ukapangisha kuanzia TSh 150,000 kila moja kwa mwezi.

๐Ÿ˜๏ธ Kwa nyuma unaweza kujenga:
โœ”๏ธ Master 5 au zaidi (kutegemeana na ramani), kila moja ukapangisha kuanzia TSh 150,000 kwa mwezi.
AU
โœ”๏ธ Master za kisasa zenye jiko (self-contained) na ukapangisha TSh 200,000 kila moja kwa mwezi.

๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Milioni 30 tu.

๐Ÿ’ต Service Charge: TSh 30,000
๐Ÿค Udalali: 10% endapo biashara itafanikiwa.

๐Ÿ“ž Wasiliana:

Karibu sana tajiri, tufanye biashara!

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings
Dalali Tabata