Tafuta

Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 220,000,000

Maelezo

#Repost @dalali_mchina_tabata_kinyerezi
β€”β€”
🏑✨ KIWANJA KINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA ✨🏑

πŸ“ Location: Kinyerezi Kibaga – Dar es Salaam
πŸ“ Ukubwa: SQM 1,000
πŸ“œ Hati Miliki ipo
πŸ’° Bei: Milioni 220

βœ… Kiwanja kipo ndani ya fence
βœ… Neighborhood nzuri sana na yenye utulivu
βœ… Eneo limejengeka vizuri na lina hadhi
βœ… Nafasi kubwa ya kutosha kwa matumizi mbalimbali

Hapa unaweza:
🏠 Kujenga nyumba yako ya kifahari na kubaki na space kubwa ya kutosha
🏒 Kujenga apartments za biashara
🏘️ Kujenga nyumba za kupangisha
πŸ“ˆ Kufanya uwekezaji wenye faida kubwa

Ni eneo zuri sana kwa makazi au biashara kutokana na mazingira yake mazuri na ukuaji wa eneo.

πŸ’Ό Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
πŸ“ž Muhitaji piga: au

Karibu sana tajiri tufanye biashara 🀝

Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used

dalali_viwanja_nyumba_dar_

@dalali_viwanja_nyumba_dar_

View Listings
Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used