Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Tabata Baracuda, Dar Es Salaam (600 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BARACUDA / NJIA YA CHANG’OMBE
📍 Location: Tabata Baracuda, Njia ya Chang’ombe
✅ Ukubwa: SQM 600
✅ Kinatazama Main Road
✅ Kinafaa kwa uwekezaji wa Apartments, Fremu za Biashara, Ofisi au Mradi mwingine wa Kibiashara
💰 Bei: Tsh Milioni 90.
💼 Fursa ya Uwekezaji:
Unaweza kujenga nyumba za biashara 4 zenye vyumba viwili na kupanga kuanzia Tsh 600,000 kwa kila moja. Pia unaweza kujenga fremu za biashara 4 au zaidi zikapangishwa kati ya Tsh 300,000 – 400,000 kwa fremu kulingana na ubora wa finishing.
📞 Muhitaji piga:
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















