Mgahawa unapangishwa Goba, Dar Es Salaam

Aina
Mgahawa
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 OPPORTUNITY YA BIASHARA – RESTAURANT & LOUNGE Goba! 🔥 Unatafuta sehemu ya kipekee kuendesha Restaurant au Lounge yenye vibe la kisasa? Hii hapa 👇 📍 Ipo Goba, karibu kabisa na barabara kuu – rahisi kufikika kwa wateja 🏢 Muundo wa Ghorofa Mbili: 🔻 Chini: • Sehemu ya vinywaji 🍸 • DJ area 🎧 kwa burudani ya usiku • Seating area yenye nafasi ya kutosha 🔺 Juu (Ghorofani): • Restaurant kamili kwa huduma ya chakula 🍽️ • Counter ya kisasa 🍳 Nje: • Jiko kubwa (ideal kwa operations kubwa) • Sehemu ya kukaa kwa wateja (outdoor vibe) ❄️ Vifaa na huduma: • AC • Standby Generator ⚡ (hakuna kusimama kwa biashara) • Maegesho makubwa ya magari 🚗 💰 Kodi: Milioni 6 kwa mwezi 📅 Malipo: Kuanzia Kodi Ya Mwaka 🇹🇿SERVICE CHARGES • Viewing Fee: TZS 30,000 (One-time payment - valid until you secure a unit) • Brokerage Fee: Equivalent to Month Rent (paid separately) 🇹🇿CONTACT • Call / WhatsApp: 0659320955 ✨ Sehemu perfect kwa mtu anayetaka kuanzisha au kupanua brand ya Restaurant & Lounge kwenye eneo lenye ukuaji mkubwa! 📩 DM sasa kwa maelezo zaidi au kupanga viewing! #Goba #RestaurantForRent #LoungeLife #DarEsSalaamBusiness #BusinessOpportunity OnesmoListings








