Nyumba (Furnished) ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo Livingstone, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
GOOD MASTER BEDROOM FOR RENT: Inajitegemea kila kitu Ipo kivyake A/C Furnished Maji yanaflow chooni Ipo floor ya tatu Kodi ni sh 450k per month Malipo ni kuanzia mwezi mmoja na kuendelea Location KARIAKOO LIVINGSTONE 0712265331 call/whatsap Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR















