Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)
Goba, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 900,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Samani
Ndiyo
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ GHOROFA YA KISHUA INAUZWA โ GOBA KULANGWA (INA HATI)! ๐ฅ
๐ NYUMBA KUBWA:
* Vyumba 5 Master (3 Juu, 2 Chini).
* Sebule, Dining, Majiko, Makabati & Jacuzzi.
๐ก SERVANT QUARTER:
* Vyumba 3 vyote Master.
๐ Uwanja SQM 1,700 | Mtaa wa Kifahari (KM 1 kutoka lami).
๐ Furniture & vitanda vipo โ ukitaka vinaachwa!
๐ฐ BEI: Milioni 900
๐ฒ Piga simu namba zilizopo kwenye BIO!















