Nyumba inapangishwa Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
Bei zetu kwa siku 1 ni:
280,000 - 3 bedrooms max 6 people
320,000 - 4 bedrooms - max 8 people
70,000 - 1 bedroom
Pesa ya tahadhari ni TShs 500,000-2,000,000 kama unakaa siku nyingi. Kama unakaa siku moja pesa ya tahadhari ni 100,000-200,000. Hii inarudishwa baada ya siku 2-4 kama hakuna upotevu au uharibifu.
Umeme mteja anajilipia ila kama wapo wachache na wanakaa siku 1 hawalipi.
Bei huwa inabadilika kidogo kulingana na season, idadi ya wateja & bei ya $ KWA MAELEZO ZAID PG CM















