Nyumba inauzwa Chukwani Skuli, Zanzibar
Maelezo
#10000millionviewsviralvideo
π‘ TUNAUZA NYUMBA β CHUKWANI SKULI, ZANZIBAR
π₯ BEI: TSH 300,000,000 TU!
Unatafuta nyumba katika eneo zuri, tulivu na lenye thamani kubwa ya uwekezaji? Hii ni fursa ya kipekee Chukwani!
π Ipo Chukwani Skuli, eneo ambalo limeendelea kwa kasi na liko karibu kabisa na mjini. Nyumba ipo line ya 3, takribani dakika 4 kutoka barabara kuu ya lami.
β¨ Kwa nini Chukwani? β’ Eneo salama, tulivu na linalofikika kwa urahisi
β’ Mazingira mazuri kwa kuishi na familia
β’ Linafaa sana kwa uwekezaji wa apartments, rental houses na miradi mingine
β’ Viwanja vya eneo hili ni vikubwa, baadhi vinafikia Futi 70 Γ 70
β’ Hospitali, skuli, maduka na huduma nyingine za kijamii zipo karibu
β’ Usafiri unapatikana kwa urahisi
π° Bei ni TSH 300,000,000 tu.
Kwa wawekezaji kutoka Oman, UK, Kenya, Tanzania/Zanzibar na hasa wazawa wanaotaka kuwekeza Zanzibar, hii ni nafasi nzuri ya kumiliki property katika eneo linaloendelea.
β° USISUBIRI! Wahi mapema kabla nafasi hii haijapatikana kwa mwingine.
π Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.















