Nyumba inauzwa Goba, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Aina
Nyumba
Ukubwa
1500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
πΈ Unajua unaweza kumiliki eneo kubwa la 1500sqm pamoja na nyumba kwa bei ndogo?
Acha kila kitu unachofanya sasa hivi!
Hapa kuna fursa ya kipekee sana maeneo ya Goba Road Njiapanda ya Makabe.
Unapata eneo kubwa sana la kutosha miradi au makazi ya kishua, na tayari lina nyumba ndani yake. Dili kama hili halikai sokoni kabisa!
ποΈ SIFA ZA MRADI:
π Ukubwa wa Kiwanja: 1500sqm (Eneo kubwa mno na la kipekee sana).
π Majengo: Kiwanja kinauzwa pamoja na nyumba iliyopo ndani.
π Mahali: Goba Road, Njiapanda ya Makabe (Eneo lenye maendeleo ya kasi sana).
π° BEI NA GHARAMA ZAKE:
π΅ Bei ya Mchongo: Milioni 75 Tu (75 Millions)!
π Service Charge (Kuangalia site): 30,000/= tu.
π ANGALIZO: Kupata kiwanja cha ukubwa wa 1500sqm maeneo ya Goba/Makabe kwa bei hii ni bahati nasibu! Ukichelewa leo kuweka miadi, kesho unakuta kimeshachukuliwa na mwekezaji mwingine. Wahi sasa hivi!
π PIGA SIMU SASA HIVI UWEKE MIADI: 0617433350















