Nyumba inauzwa Kigamboni, Mikwambe (Maliasili), Dar Es Salaam (650 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ MABOMA MAWILI YANAUZWA β KIGAMBONI, MIKWAMBE (MALIASILI )π‘
Fursa adimu kwa wawekezaji na wanaotafuta eneo lenye maendeleo ya haraka.
Boma la Kwanza
β
Lina nyumba 2 za chumba kimoja na sebule
β
Zote ziko mbele na zinagusana na barabara ya mtaa
Boma la Pili
β
Vyumba 3
β
Sebule
β
Dining
β
Lipo ndani ya kiwanja hicho hicho
π Ukubwa wa kiwanja: Kuanzia 650 Sqm
π Mahali ilipo:
β’ Mita 300 kutoka barabara kuu ya lami
β’ Kilomita 9 kutoka Feri
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 45
Maongezi yapo kwa mnunuzi makini.
πΌ Fursa za Uwekezaji:
βοΈ Kujenga apartments za kupangisha
βοΈ Hostel
βοΈ Guest House
βοΈ Nyumba ya kisasa ya familia (Dream House)
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















