Nyumba inauzwa Kisauni, Mkunazi Samaki, Zanzibar
Aina
Nyumba
Ukubwa
396 SQM
Maelezo
#10000000millionviewsviralvideo π‘ NYUMBA INAUZWA β KISAUNI, MKUNAZI SAMAKI, ZANZIBAR
π Eneo: Kisauni, Mkunazi Samaki
Nyumba ipo line ya tatu tu kutoka barabara ya ndani, ambayo kwa sasa iko kwenye maandalizi/marekebisho ya kuwekwa lami. Barabara hii inaunganisha Kisauni mpaka kwarara, hivyo eneo lina matarajio mazuri ya kuendelea kukua na kuwa na thamani zaidi.
β¨ Sifa za Nyumba:
π Kiwanja: Mita 22 Γ 18
π Nyumba ipo kwenye hatua za finishing
Baadhi ya tiles bado hazijakamilika
Baadhi ya gypsum bado hazijakamilika
Baadhi ya sehemu za plaster bado hazijamalizika
π§± Ukuta wa mbele bado haujakamilika
πͺ Geti la mbele bado halijawekwa
π¨βπ©βπ§βπ¦ Nyumba ina wapangaji kwa sasa
π° BEI: TSH 75,000,000/= π Mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious.
πΏ Kwa nini ununue?
Eneo ni tulivu, zuri na linafaa kwa makazi au uwekezaji. Kwa kuwa barabara ya ndani inaendelea kufanyiwa maboresho ya kuwekwa lami, eneo linaweza kuwa na fursa nzuri zaidi kwa maendeleo ya baadaye.
π Kwa mawasiliano zaidi:
0776-10-90 92 06-86-23-0110
π₯ Usikose fursa hii β nyumba ipo Kisauni, Mkunazi Samaki!















