Nyumba inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Maelezo

NYUMBA MPYA YENYE VYUMBA 6 NA MADUKA 5,
TSHS.85 MILIONI,KIVULE-FREMUKUMI.

Hii ni nyumba mpya ya kisasa yenye jumla ya
Vyumba 6 vya kulala.
Pamoja na hiyo kuna Frem/Maduka 5.

Inafaa sana Familia kubwa na yenye kuhitaji Kitegauchumi pamoja na Makazi MAZURI,
Vyote kwa pamoja.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________msk