Nyumba inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (770 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA TATU ZINAUZWA KWA PAMOJA โ TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM
๐ Nchi: Tanzania
๐๏ธ Jiji: Dar es Salaam
๐ Eneo: Tabata Kimanga
๐ฐ Bei: TZS Milioni 250 (Maongezi Yapoo)
๐ Ukubwa wa Viwanja:
โ
Nyumba Kubwa โ SQMT 420
โ
Nyumba Ndogo ya Kwanza โ SQMT 175
โ
Nyumba Ndogo ya Pili โ SQMT 175
๐ Jumla ya Eneo: SQMT 770
๐ Nyaraka:
โ๏ธ Nyumba Kubwa Ina Hati Safi
โ๏ธ Nyumba Mbili Nyingine Zina Mauziano ya Serikali ya Mtaa (Sales Agreement)
๐ Umbali: Mita 800 kutoka Barabara ya Kimanga Mwisho
๐ Faida za Nyumba:
โ
Kila nyumba inajitegemea
โ
Mmiliki ni mmoja
โ
Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
โ ๏ธ Gharama ya Viewing: TZS 50,000
๐ Kwa Site Visit na Maelezo Zaidi:
0714 575 588
๐ข WAGS Investment Real Estate Company
๐ Makumbusho Plot No. 73, Block A
๐ฑ Instagram: @wags_investment8















