Nyumba inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKI π‘
π Location: Tabata Segerea β Viwanja vya Benki, Dar es Salaam.
β
Nyumba ipo ya pili kutoka barabara ya lami.
β
Ipo kwenye neighborhood nzuri sana na tulivu.
β
Eneo limejengeka vizuri, hakuna uswahili.
β
Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 750
π Hati miliki ya Wizara ya Ardhi ipo.
π° Bei: Tsh Milioni 160
π£ Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi serious.
Karibu tajiri tumalize biashara π€
π΅ Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
π Muhitaji piga: +255688412890















