Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Chidachi, Dodoma
Huduma na Sifa
Maelezo
CHUMBA MASTER, SEBULE NA JIKO INAPANGISHWA
Mahali:Dodoma Chidachi
Bei:250,000/=
Malipo:Miezi 6
✅Nyumba Ni Mpya Kabisa Wewe Ndo Wa Kwanza Kuishi
✅Maji Kisima Yanatoka Masaa 24hrs
✅Umeme Unajitegemea Mwenyewe
✅Mazingira Mazuri Sana Na Ni Tulivu Mno
✅Nyumba Iko Jiran Na Usafiri Wa Umma
✅Huduma Za Kijamii Zipo Kwa Urahisi Sana
💰Gharama Za Kwenda Kuoneshwa Ni Tsh.15,000/=(Itadumu Mpk Utakapo Pata Chumba)
💣Bila Kusahau Malipo Ya Dalali Ambayo Atalipa Mteja.
Whatsapp Number/Call
NAPATIKANA DODOMA MJINI PIGA SIMU TUFIKE SITE TAJIRI
#dodoma #tanzania #sgr #yanga ikulumawasiliano















