Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kibada Kwa Samata, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Maelezo

NYUMBA ZINAPANGISHWA

Kigamboni kibada kwa samata ๐Ÿ“
โœ… Chumba master sebule najiko
โœ… Ndani ya fence
โœ… Umeme lluku maji buree
โœ… Karibu na barabara sanaa
๐Ÿ‘‰ Bei 300k kodi kuanzia miezi 3
๐Ÿ‘‰ Zingatia service charge 20k ukilipia nyumba dalali mwezi 1
๐Ÿค WELCOME KIGAMBONI