Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Sh. 500,000/month

Maelezo

🏠 CHUMBA KIMOJA MASTER, SEBULE NA JIKO VINAPANGISHWA

📅 Vitakuwa tayari kuhamia kuanzia tarehe 1/9/2026

💰 Kodi: TSh 500,000 kwa mwezi

📍 Mahali: Kimara Korogwe

📄 Masharti ya Malipo: Miezi 6 mbele

SIFA ZA NYUMBA
✅ Chumba kimoja Master
✅ Sebule
✅ Jiko

HUDUMA NA VITU VILIVYOPO
✔️ Barabara nzuri na rahisi kufika
✔️ Eneo tulivu na salama
✔️ Nyumba ipo ndani ya fensi
✔️ Maegesho ya magari yanapatikana
✔️ Full A/C
✔️ Maji na umeme (LUKU) vina mita zake kutoka kwenye chanzo kikuu

📞 Wasiliana nami:
Simu au WhatsApp: 0766547700

GHARAMA ZA UDALALI
🔹 Ada ya kuonyeshwa nyumba: TSh 20,000 (hulipwa na mteja kabla ya kwenda kuona nyumba).

🔹 Commission ya udalali: Kodi ya mwezi mmoja, hulipwa na mpangaji itakuwa wazi 01 09 2026 kuona ruhusa

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam