Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam







Huduma na Sifa
Maelezo
MASTER BEDROOM NZURI SANA INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE
📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕒 Umbali: 1km kutoka stand ya mwendo kasi usafili bodaboda 1000 tu kwa mguu dakika 12.
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja Master kikubwa sana.
🔹 Jiko zuri na la kisasa
🔹 Umeme & Maji #inajitegemea
🔹 Maji yanatiririka ndani masaa 24/7
🔹 Fence hamna & Parking kubwa na salama
👉Chumba kitakuwa wazi tarehe 10/04/2026 Kuona ndani na kufanya malipo luksa endapo mpangaji atakuwepo.
GHARAMA:
🔸 Kodi: TSh 170,000 × 6 (Miezi sita)
🔸 Malipo ya dalali: TSh 170,000
🔸 Service charge: TSh 20,000
📞 #Piga_simu👇
0
🙏 #please #Follow_us
0713661530_0783661530















