Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam







Aina
Nyumba
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿MASTER BED ROOM NZURI SANA INAPANGISHWA KOROGWE
📍Kimara korogwe
🕗Umbali wa dakika 7 kwa mguu kutoka stand ya mwendo kasi ya korogwe usafili bodaboda 1000 tu mpaka getini.
#SIFA ZA NYUMBA.
Chumba Kimoja Master kizuri. Kikubwa sana
Jiko
Luku yako
Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
Ndani ya Fanced & hailazi gari
GHARAMA
Kodi Tsh 170,000/=x 6 (Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
Service Charge Tsh 20,000/=
#Piga_simu
#📞 . &Whatsapp
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja




















