Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
nyumba inapangishwa ipo kimara korogwe barabara ya zege
Chumba master sebule jiko
350,000 x 6
inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani
ina Reserve Tank zipo nyumba 6 ndani ya fence
survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
O677370515 whatsapp number
O688991244 NORMAL CALL















