Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
ββ
πΉπΏ MASTER BED ROOM YA KISASA INAPANGISHWA β KIMARA KOROGWE.
π Eneo: Kimara korogwe
π Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu.
π SIFA ZA NYUMBA:
πΉ Chumba kimoja (Master Bedroom)
πΉ Jiko zuri na la kisasa
πΉ Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)watatu.
πΉ Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
πΉ Fensi hamna & Parking kubwa na salama kabisa.
πNyumba inakuwa wazi tarehe 20/06/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa endapo tutamkuta mpangaji.
GHARAMA:
πΈ Kodi: Tsh 150,000 Γ 6 (Miezi sita)
πΈ Malipo ya dalali: Tsh 150,000
π 0688617926
0655256419
#please #Follow_us
Karibu Sana Mteja!















