Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam







Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿 MASTER BED ROOM MPYA YA KISASA – INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE
📍 Eneo: Kimara korogwe
🕒 Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 15 kwa miguu.
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
🔹 Jiko zuri na la kisasa
🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔹 Maji yanapatikana masaa 24/7
🔹 Fensi hamna & Parking kubwa na salama
GHARAMA:
🔸 Kodi: Tsh 150,000 × 6 (Miezi sita)
🔸 Malipo ya dalali: Tsh 150,000/=
🔸 Service charge: Tsh 20,000/=
📞 #Piga_simu👇
0712528820
0685221354
#please #Follow_us 🙏
Karibu Sana Mteja! 😊















