Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐น๐ฟ CHUMBA MASTER NA JIKO NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA
๐ Kimara suka .
๐ 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji 1000/bodaboda 1500 zipo muda wote.
SIFA YA CHUMBA
Chumba kimoja (Master kubwa yenye feni na jiko) kubwa sana
Umeme & Maji (vinajitegemea )
Maji yanapatikana
Masaa 24 pia yana flow ndani
Ipo ndan ya Fensi
Parking kubwa Yenye nafasi
TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 170,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 6 tu.
GHARAMA
ยฃ! Kodi Tsh 170,000/= ร (Miezi sita)
ยฃ! Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
ยฃ! Service Charge Tsh 20,000/=
โ๏ธ
#steelbighomes #fyp















