Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam






Huduma na Sifa
Maelezo
Master bedroom Inapangishwa Kodi Tsh 80,000 miezi 5 nakuendelea
Kimara suka umbali km2.5 kutoka barabarani
Maji yanaflow chooni muda wote
Tails jipsam
Umeme wako na maji ushei
Mazingira tulivu sana
Service charge Tsh 15,000
Ulipiapo nyumba dalali mwezi 1
Maelezo Zaidi piga simu Dm sms utachelewa kujibiwa Asante 🙏
what saapp number 0659244543















