Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi G7, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
kinyerezi G7 dk 5 kwa miguu chumba sebule jiko lenye makabati na choo ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani kodi 300K X6 maji moto maji baridi Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba Mawasiliano 0656623510 Wsp 0752436347















