Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi Kwa Ditopile, Dar Es Salaam
Kinyerezi, Dar Es Salaam
18 hours ago
Sh. 240,000/month
Maelezo
π KIJUMBA KIPYA CHA KIBACHELOR KINAPANGISHWA π₯
β¨ Chumba Master ποΈ
ποΈ Sebule nzuri
π³ Jiko
π Ipo Kinyerezi Kwa Ditopile
π° Kodi ni Tsh 240,000/= kwa mwezi
π‘ Kijumba kipya, kizuri na kinafaa kwa mtu anayehitaji sehemu nzuri na tulivu ya kuishi.
π Piga simu:
π₯ Wahi kuiona kabla haijachukuliwa!















