Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi Shell, Dar Es Salaam

Kinyerezi, Ilala, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 120,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Uzio
Private Kitchen
Maelezo
π MASTER ROOM INAPANGISHWA β KINYEREZI SHELL (ESTHER)
π Ipo umbali wa takriban KM 1 kutoka kituoni (au boda dakika chache tu)
π₯ Mpangaji ni watatu tu (mazingira tulivu na salama)
β¨ Sifa za nyumba:
* Master room kubwa (self-contained)
* Ina jiko lake binafsi π³
* Ipo ndani ya fence
* Maji na umeme vinajitegemea
* Mazingira mazuri na ya kisasa (exasa)
π Gari haliingii kulala ndani
π° Kodi: Tsh 120,000 kwa mwezi
π Malipo: Miezi 3 advance (fixed)
π Inafaa kwa bachelor au mtu anayependa utulivu
Service charge 10,000/=.
π Wasiliana: +255 688 412 890
