Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Makongo Changanyikeni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
3km
Huduma na Sifa
Maelezo
Master bedroom and kitchen Kodi kwa mwezi 350,000/= Anachukua miezi 3 Security deposit 100,000/= hii unarudishiwa siku utakapohama kama hujaharibu chochote ndani na nje ya nyumba Hulipii maji na taka Unajitegemea umeme pia Kuna CCTV camera Parking ipo pia ni ndani ya fence Kwenda kuona 20,000/= Kwa kutembea ni dk 3 kutoka main road Agent Commission 350,000/= Location: Makongo Changanyikeni Kwa maelekezo zaidi 0672616197















