Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Makongo Juu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NEW MASTER BEDROOM WITH KITCHEN – 400,000 TSH (FULL AC)
📍 Makongo Juu – Karibu na barabara kuu (Main Road)
Furahia maisha bora katika nyumba nzuri na ya kisasa, iliyopo eneo salama na karibu na huduma zote muhimu.
🏠 Maelezo ya Nyumba
✅ Master bedroom kubwa na ya kisasa
✅ Jiko lenye makabati (modern cabinets)
✅ Full Air Condition (AC)
✅ Umeme unajitegemea (LUKU)
✅ Maji yanajitegemea
✅ Nyumba iko karibu sana na barabara ya lami
💰 Bei na Masharti
Kodi: 400,000 TSH kwa mwezi
Malipo: miezi 6 mbele
📌 Gharama za Ziada
• Service charge: 30,000 TSH (malipo ya mara moja tu)
• Commission ya dalali: sawa na kodi ya mwezi mmoja
📍 Mahali
Makongo Juu – karibu na main road, eneo rahisi kufikika
📞 Mawasiliano
WhatsApp / Simu: +255 692 932 076
Njoo ujionee mwenyewe nyumba hii nzuri, uanze maisha ya starehe karibu na mjini!















