Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Makongo Juu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 400,000/month

Maelezo

🏡 NEW MASTER BEDROOM WITH KITCHEN – 400,000 TSH (FULL AC)

📍 Makongo Juu – Karibu na barabara kuu (Main Road)

Furahia maisha bora katika nyumba nzuri na ya kisasa, iliyopo eneo salama na karibu na huduma zote muhimu.

🏠 Maelezo ya Nyumba

✅ Master bedroom kubwa na ya kisasa
✅ Jiko lenye makabati (modern cabinets)
✅ Full Air Condition (AC)
✅ Umeme unajitegemea (LUKU)
✅ Maji yanajitegemea
✅ Nyumba iko karibu sana na barabara ya lami

💰 Bei na Masharti

Kodi: 400,000 TSH kwa mwezi
Malipo: miezi 6 mbele

📌 Gharama za Ziada

• Service charge: 30,000 TSH (malipo ya mara moja tu)
• Commission ya dalali: sawa na kodi ya mwezi mmoja

📍 Mahali

Makongo Juu – karibu na main road, eneo rahisi kufikika

📞 Mawasiliano

WhatsApp / Simu: +255 692 932 076

Njoo ujionee mwenyewe nyumba hii nzuri, uanze maisha ya starehe karibu na mjini!

Matangazo yanayofanana Makongo, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Makongo Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 800,000/month

  • Maji

  • Parking Space

  • Makabati ya Jiko

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Makongo, Dar Es Salaam

Sh. 800,000/month

  • Karibu na Shule

  • Sebule

  • Jiko

Nyumba/Apartment inapangishwa Makongo Juu, Dar Es Salaam

Sh. 600,000/month

  • Paving Blocks

  • Heater

  • Uzio