Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Makongo Juu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NEW MASTER BEDROOM WITH KITCHEN β 400,000 TSH (FULL AC)
π Makongo Juu β Karibu na barabara kuu (Main Road)
Furahia maisha bora katika nyumba nzuri na ya kisasa, iliyopo eneo salama na karibu na huduma zote muhimu.
π Maelezo ya Nyumba
β
Master bedroom kubwa na ya kisasa
β
Jiko lenye makabati (modern cabinets)
β
Full Air Condition (AC)
β
Umeme unajitegemea (LUKU)
β
Maji yanajitegemea
β
Nyumba iko karibu sana na barabara ya lami
π° Bei na Masharti
Kodi: 400,000 TSH kwa mwezi
Malipo: miezi 6 mbele
π Gharama za Ziada
β’ Service charge: 30,000 TSH (malipo ya mara moja tu)
β’ Commission ya dalali: sawa na kodi ya mwezi mmoja
π Mahali
Makongo Juu β karibu na main road, eneo rahisi kufikika
π Mawasiliano
WhatsApp / Simu: +255 692 932 076
Njoo ujionee mwenyewe nyumba hii nzuri, uanze maisha ya starehe karibu na mjini!















