Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba sebule master bedroom kinapangishwa bei 150 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbagala mbande kisewe stendi, Chumba sebule master bedroom kina tiliz madilisha vioo, jiko la ndani kwa ndani, mafeni juu panga boy yapo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.















