Tafuta
-
-

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe Stendi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 120,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

5minute

Huduma na Sifa

Tiles
Feni
Mita ya Maji Inajitegemea
Luku Inajitegemea
Parking Space

Maelezo

Chumba sebule master bedroom kinapangishwa bei 120 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe stendi. Chumba sebule master bedroom kina tiliz madilisha vioo, mafeni juu panga boy, unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.