Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe Stendi, Dar Es Salaam

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
5 days ago
Sh. 120,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5minute
Huduma na Sifa
Tiles
Feni
Mita ya Maji Inajitegemea
Luku Inajitegemea
Parking Space
Maelezo
Chumba sebule master bedroom kinapangishwa bei 120 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe stendi. Chumba sebule master bedroom kina tiliz madilisha vioo, mafeni juu panga boy, unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.
