Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 250,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba hii ni
Chumba sebule choo jiko
Luku yako pekeyako maji mita yako pekeyako
Kodi sh laki 250//,š
Ilipo njia ya mbezi bichi kituo cha sicansica kituo kipya umbali wa kutembea tuu kwa miguu tuu dakika 7 kwa miguu
#0716623170















