Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Masana, Dar Es Salaam


Mbezi, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 400,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Hili sio ya kukuosa hakuna
haja ya kuwasha feni!!! ®
Inatizama baharii !!
Chumba kimoja mastar ctingroom jiko
Inajitegemea umeme na maji paking kubwa
Location Mbezi Beach Masana.
Tsh 400,000/= kwa mwezi (6miezi )
Call /whataapp/
#
#
Kuiona 30k
Njooo chapuu haikaiiii, 9 minutes ago
dalali_godwin_kawe_mbezbe_goba















