Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Tank Bovu, Dar Es Salaam

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
12 days ago
Sh. 200,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Service Charge20k
Boda Buku
Maelezo
💥Chumba master ,Sebule na jiko
💥200,000 miezi 6
💥Umeme Maji unajitegemea
💥Ndani ya Fence na Parking kubwa
💥Mbezi beach Tank bovu
💥Service charge 20k
Boda buku
