Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Tankbovu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
💥Chumba master , Sebule na jiko
💥350,000 miezi 6
💥Umeme Maji unajitegemea
💥Ndani ya Fence na Parking kubwa
💥Mbezi beach Tankbovu dakika 1 kutoka lami
💥Service charge 20k















