Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Tankbovu, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Bafu
1
Barabara ya Karibu
5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
💥Chumba master, Sebule na jiko
💥350,000 miezi 6
💥Umeme unajitegemea
💥Ndani ya Fence na Parking kubwa
💥Mbezi beach Tankbovu upande wa Chini dakika 5 kutoka lami
💥Service charge 20k
0682 402 327 📶
0653 267 999 📶 ya WHATSSAP















